Movie kali kuzidi zote ya wabongo na. wakenya waishio U.S.A
leo hii nipehabari inakuletea vionjo vya movie ya wa Bongo waishio Marekani na waerekani pia movie hii inajulikana kwa jina la (Baby Powder) itaziduliwa November mwaka 2009
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KATIKA SEKTA YA MADINI
-
WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji katika
Sekta ya Madini ili kuupiga jeki uchumi wa taifa kwa kutengeneza ajira na
w...
25 minutes ago
I want to watch this movie so bad!!!!
ReplyDeleteHuyu ndio director wa Mac Muga, video ya Ali Kiba?
ReplyDeleteNdio, jina lake Karabani
ReplyDeleteYuko LA marekani! Kijana mambo yametulia...
ReplyDeletebro big up sana hii nibonge la movie haijawai kutokea East Afrika tunaisubiri sana ok byee
ReplyDeleteBongo stand up, finally na sisi tumo ndani kwenye hii industry!
ReplyDeleteaminia babake mwazo mwisho wabongo siimcheo kilakona lazima tukabe
ReplyDelete