Movie kali kuzidi zote ya wabongo na. wakenya waishio U.S.A
leo hii nipehabari inakuletea vionjo vya movie ya wa Bongo waishio Marekani na waerekani pia movie hii inajulikana kwa jina la (Baby Powder) itaziduliwa November mwaka 2009
TET,JENGA HUB WAFUNGA KIKAO KAZI CHA KUANDAA MAUDHUI YA KUHESABU 'KALIMANI
APP' KWA AJILI YA WANAFUNZI VIZIWI
-
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt Aneth Komba leo
tarehe 27/3/2026 amefunga rasmi kikao kazi cha siku tatu cha kuandaa
maudhui ya Kuhe...
45 minutes ago

I want to watch this movie so bad!!!!
ReplyDeleteHuyu ndio director wa Mac Muga, video ya Ali Kiba?
ReplyDeleteNdio, jina lake Karabani
ReplyDeleteYuko LA marekani! Kijana mambo yametulia...
ReplyDeletebro big up sana hii nibonge la movie haijawai kutokea East Afrika tunaisubiri sana ok byee
ReplyDeleteBongo stand up, finally na sisi tumo ndani kwenye hii industry!
ReplyDeleteaminia babake mwazo mwisho wabongo siimcheo kilakona lazima tukabe
ReplyDelete