Monday, June 29, 2009

MASHABIKI WALIO WASILI KWENYE VIWANJA TTC L SAYANSI KUONA SHOW YA BEENIE MAN












Wadau karibuni tena mujionee mambo yalijiri katika Beenie man walio fanya vizuri kwenye show hiyo ni Magwea Cpwaa A Town boys Tid Hussen Machozi na beenie man.



Hasheem thabeet
Akitangazwa kuingia katika libeneke la NBA wa Tanzania wanakutakia kilalaheri katika kuitanga nchi yetu kweye mpira wa kikapu. kilamoja anatarajia kuwa wewenidie utakae kuwa una mwongoza wa mpira wakikapu hapa nchini,

Friday, June 26, 2009

Pop star Michael Jackson has died in Los Angeles, aged 50.

Paramedics were called to the singer's Beverly Hills home at about midday on Thursday after he stopped breathing.

He was pronounced dead two hours later at the UCLA medical centre. Jackson's brother, Jermaine, said he was believed to have suffered a cardiac arrest.

Jackson, who had a history of health problems, had been due to stage a series of comeback concerts in the UK on 13 July.

Speaking on behalf of the Jackson family, Jermaine, said doctors had tried to resuscitate the star for more than an hour without success.

He added: "The family request that the media please respect our privacy during this tough time."

"And Allah be with you Michael always. I love you."

Concerns were raised last month when four of Jackson's planned comeback concerts were postponed, but organisers insisted the dates had been moved due to the complexity of staging the show.

A spokeswoman for The Outside Organisation, which was organising the publicity for the shows, said she had no comment at this time.

Broadcaster Paul Gambaccini said: "I always doubted that he would have been able to go through that schedule, those concerts. It seemed to be too much of a demand on the unhealthy body of a 50 year old.

"I'm wondering that, as we find out details of his death, if perhaps the stress of preparing for those dates was a factor in his collapse.

"It was wishful thinking that at this stage of his life he could be Michael Jackson again."

Uri Gellar, a close friend of the star, told BBC News it was "very, very sad".

Speaking outside New York's historic Apollo theatre, civil rights activist Rev Al Sharpton paid tribute to his friend.

"I knew him 35 years. When he had problems he would call me," he said.

"I feel like he was not treated fairly. I hope history will be more kind to him than some of the contemporary media."

Melanie Bromley, west coast bureau chief of Us Weekly magazine, told the BBC the scene in Los Angeles was one of "pandemonium".

"At the moment there is a period of disbelief. There are hundreds of people outside UCLA waiting for news.

"He was buying a home in the Holmby Hills area of Los Angeles and the scene outside the house is one of fans, reporters and TV cameras - it's absolute craziness.

"I feel this is the biggest celebrity story in a long time and has the potential to be the Princess Diana of popular culture."

Tuesday, June 23, 2009


Mwimbaji mahiri na aliyewahi kutamba sana kwenye anga ya muziki wa taarabu hapa nchini, Bibie Nasma Khamis wa Kidogo (shoto pichani) amefariki dunia usiku wa kumkia leo.




Looks like the First Dog, Bo Obama, has been settling in with President Obama comfortably. The two newly found family members are seen in a pictorial below having a ball. Bo seems to have found his stride.

Friday, June 19, 2009

Level za Rock sasa - Suma Lee
Msanii wa muziki wa kizazi kipya mmoja wa waliokuwa wanaunda kundi la Park Lane Suma Lee amedhihirisha ya kuwa bado yupo kwenye game ingawa alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa kauchia nyimbo mpya inayokwenda kwa jina la "She Driving Me Crazy". Akichonga na Dar411 Suma Lee alisema aliwaachia wasikilizaji wachague jina la wimbo na hilo jina ndio wamependekeza. "Ngoma hii hivyo....

What is the Confederations Cup?
12 Jun 09 | Internationals
USA 0-3 Brazil
18 Jun 09 | Internationals
Brazil 4-3 Egypt
15 Jun 09 | Internationals
USA 1-3 Italy
15 Jun 09 | Internationals
Is South Africa ready for 2010?
11 Jun 09 | Football
World Cup: One year to go
11 Jun 09 | Africa
Fifa Confederations Cup fixtures
12 Jun 09 | Results
Fifa Confederations Cup results
13 Jun 09 | Results
Fifa Confederations Cup tables
12 Jun 09 | Internationals

Egypt gave themselves a good chance of qualifying for the Confederations Cup semi-finals with a surprising but merited win over world champions Italy.

Mohamed Homos scored the only goal, rising to meet a well-delivered corner to direct a header in off the far post.

Despite not creating many clear-cut chances Egypt matched the Italians for work-rate and application.

Vincenzo Iaquinta struck the bar late on for Italy and Egypt keeper Essam El Hadari made a string of good saves.

After the embarrassingly one-sided earlier Group B contest between Brazil and USA, this was a much more evenly contested affair between two sides who came into the match having both scored three in their opening games of the competition.

Italy made significant changes to their attacking line with young striker Giuseppe Rossi - scorer of two goals against USA after coming on as a substitute - and Vincenzo Iaquinta starting in place of regular strikers Luca Toni and Alberto Gilardino.

Rossi almost made the most of his chance early on when a poor defensive clearance gave him the opportunity to shoot but he struck it over the crossbar from 15 yards and he was then denied by a one-handed tip-over

Bongodjs Entertainment

Bongo djs wanao fanya makamuzi yao huko u.k nimiongoni wa madjs wanao pagawisha watu vilivyo kama mdau utabahatika kutua ukerewe utawaona madjs hawa.

Thursday, June 11, 2009


MANCHESTER UNITED have accepted an £ 80

million,

offer from Real Madrid for Cristiano Ronaldo.

Ronaldo has long been a target for the Spanish giants, who signed Kaka for £62m on Monday.

Real president Florentino Perez vowed earlier this week to do "everything possible" to take the 24-year-old to the Bernabeu.

United insist they were forced to accept a world-record bid for Ronaldo after the winger revealed he wanted out of Old Trafford.

A Red Devils statement said: "Manchester United have received a world-record, unconditional offer of £80million for Cristiano Ronaldo from Real Madrid.

"At Cristiano's request - who has again expressed his desire to leave - and after discussion with the player's representatives, United have agreed to give Real Madrid permission to talk to the player.

"Matters are expected to be concluded by June 30. The club will not comment until further notice."

Ronaldo, on holiday in Los Angeles, told United boss Alex Ferguson that he wants to quit Old Trafford for the Bernabeu.

Ferguson flew out to Lisbon last summer to persuade Ronaldo to stay with the Red Devils after a summer in which the player pushed for a move to Madrid.

But Fergie will not go chasing the player this time - and feels it is time for his star player to go.

SunSport revealed before the Champions League final that Ronaldo had told close friends he wanted a new challenge.

The Portugal ace is now relishing the chance to be part of the revival at Real under returning club president Perez.

Wednesday, June 10, 2009


Urafiki wa mashaka!

Siku mbili tatu zimepita nimekuwa nasoma soma makala kadhaa kutoka nchi jirani (kaskazini) Watawala wetu wamekuwa wakijifanya wanapendana sana. Ghafla wengine wamesema tuharakishe kutengeneza jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mimi nashangaa sana. Sijui ndiyo siasa hiyo au utumbo gani unafanyika. Wenzetu wanataka ardhi ya Tanzania. Eti mtu yeyote Afrika Mashariki aweze kukaa katika nchi yoyote. Eti tutumie vitambulisho tu na hamna haja ya pasipoti.

Unajua hakuna dharau kubwa kama mtu akikufanya bwege. Wenzetu Kenya wamekuwa wakitufanya mabwege, na sisi tumekaa kimya tu. Eti tuko waungwana.

Wana makala wa nchi jirani wamekuwa wakitutukana sana. Sasa ni muda wa kuwaambia Kenya waambae zao. Waache kabisa kutufanya Watanzania mafala.

Ukweli ni kuwa kwa wenzetu ardhi wamejigawia wakoloni wao weusi. Wakubwa kuwa na eka 500,000 za ardhi si kitu cha kushangaza sana. Uchoyo huo umewaondoa mamilioni kukaa mijini na ardhi haipo tena. Kaskazini ya nchini yao ni jangwa.

Sasa wamekuwa wakiinyemelea ardhi ya Tanzania kwa miaka mingi. Wanataka uchumba, tena uchumba wenyewe kwa nguvu. Jamaa hawajui hata kubonga!

Sasa wanatishia kuwa kama Tanzania haitaki kuingia Jumuiya hiyo, basi wengine, ikimaanisha Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi waendelee.

Mimi na Watanzania wengi tunakubaliana. Wacha Kenya Uganda, Rwanda na Burundi waendelee na Jumuiya hiyo. No problem!

Naona hata Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki nae kachoshwa. Ujanja ujanja wa kitoto kutoka kwa wenzetu umemchosha. Amesema jumuiya hiyo ni ya kusadikika. Kuwa baadhi ya nchi wanachama zinaendekeza unafiki na ubinafsi katika Jumuiya hiyo.

Alisema kuwa tatizo la ujanja ujanja na ubinafsi linaloonekana kuweka mizizi katika jumuiya hiyo, litaipeleka pabaya ikiwa hatua madhubuti hazitachukuliwa kukomesha. Alisema Tanzania imejitolea kutoa elimu ya bure kwa nchi za EAC namna ya kupiga vita ukabila.

“Ukiniuliza tumefaidika nini nitakujibu badala ya mategemeo ya kupungua na kuondoa kabisa vikwazo vya kibiashara, ndiyo kwanza vimeongezeka.” Alisema.

Tatizo ni kuwa wenzetu wamekuwa wakijifanya wao ndiyo wajuaji sana wa Afrika. Hawana ardhi ya kutosha sasa wanataka kuhamia Tanzania. Eti ndiyo ushirikiano. Masihara hayo!

Jamaa wako kibao visiwani. Eti wanajua huduma kwa watalii. Utumbo mwingine! Sababu ni kuwa wanajua kiingereza. Hilo ni tatizo la muda tu. Ni sisi tuwafunze watoto wetu hicho kiingereza, kifaransa na hata kichina. Huwezi kufanya uamuzi wa kudumu kwa ajili ya tatizo la muda.
Hujifanya wanapendana na kupiga picha lukuki kwa ajili ya magazeti yetu, Watanzania wawaeleze wenzetu kuwa mtazamo na kasumba ya kujifanya wao ndiyo magwiji wa Afrika Mashariki hatuutaki.

Tuheshimiane na kuacha kabisa madharau hayo. Kama wataendelea na jumuiya yao, safi kabisa. Ila mambo ya kutaka kutuibia Watanzania ardhi yetu wasahau kabisa!



Mustafa Hassanali Showcase At ARISE AFRICA FASHION WEEK

Mustafa Hassanali to Showcase at “ARISE AFRICA FASHION WEEK”

Launch of Mustafa Hassanali Ready to Wear Collection Named “MDUARA”

Tanzania Media to Cover Mustafa Hassanali Showcase

Mustafa Hassanali, Tanzania’s renowned Fashion Designer has been invited to the inaugural Arise Africa Fashion Week by Africa Fashion International to be held from June 12- 19, 2009 at the Sandton Convention Centre in Johannesburg, South Africa.

Arise Africa Fashion week shall feature 52 designers from 21 African Countries over a period of 8 Days. Mustafa Hassanali is among the invited designers from Tanzania. This shall be his Seventh Showing in The Republic of South Africa.

(M’Net Face of Africa Finals November 2008 Sun City, Tanzanite One Jewellery Showing in Cape Town during Mining Indaba 2007, Durban Fashion week 2006, Cape Town Fashion week 2005 & 2006 and Vukani Fashion Fair and awards in Pretoria 2004).

Mustafa Hassanali Says “This is a perfect Platform not only for networking but to look at diverse Market opportunities hence the diversification into the Ready to wear market segment”

Mustafa Hassanali shall launch his Prêt a Porter Spring/Summer 2009/10 Collection “Mduara”.
The collection has been inspired by the sacred, savoury, significance, Sensual, soulful, synergetic Rhythms of our Swahili nation

Mustafa adds “The Vibrancy of our Music, Culture, myths and Beliefs form an integral part of our being hence “Mduara”. The Local Dance Rhythms has inspired this ready to wear Women Collection which is an eclectic mix of Tradition meeting Modernity and vice versa”

Mustafa Hassanali’s commitment is to not only to promote the creative sector Industry especially Fashion in Tanzania, but also emphasise the Made in Tanzania Concept. He will be accompanied by A Media Contingment that Shall Not only Cover his Showcase on 14 June but also report on the behind the Scenes of the Arise Africa Fashion Week.

The tour of the Media Contingment has been sponsored by Vodacom (www.Vodacom.co.tz), Tanzania Broadcasting Corporation (www.tbcorp.org) and 1time Airlines (www.1time.co.za).

Cpwaa akiwa na wadau wa dar411.com ambayo inakuwezesha kupata habari za burudani ndani ya simu yako kupitia sms uduma hii inatolewa buree,


Serengeti Boys timu ya vijana ya Tanzania U - 17 wikiendi hii ilitoa onyo kali kwa wapinzani wake kwenye michuano ya Afrika Copa Coca - Cola kwa kuisambaratisha Ethiopia 5 - 0 katika mchezo wa ufunguzi uliochezwa kwenye uwanja wa Absa mjini Pretoria jana.

Mchezaji Joseph Mahundi alifungua kalamu hiyo kwa kufunga bao la kwanza dakika ya 9 kabla ya Himid Mkami kufunga bao la pili dakika 33.

Tanzania ilifanya shambulizi lingine la nguvu dakika tano kabla ya mapunziko na kupata bao lake la tatu kupitia Issa Rashid.

Ethiopia walionekana kubadilika kipindi cha pili, lakini walijikuta wakishia kupokea kipigo kwa kufungwa bao la nne na Murshid Rashid dakika ya 51.

Ikicheza kwa kujiamini na kupigia pasi fupi fupi Serengeti Boy ilikamilisha karamu yake kwa kufunga bao la tano dakika 63 kupitia Mohamed Marzuki.

Kocha wa Tanzania, Rodrigo Stockler alisema ushindi huo mkubwa ni mafanikio makubwa kwake na ishara nzuri kwa wachezaji wake kufutwa mafundisho yake.

Tuesday, June 9, 2009


Kaka: Becks told me to go 
KAKA has revealed how David Beckham convinced him to sign for Real Madrid. 

The Brazilian became the world's most expensive player ever last night by sealing a £62million move to Spain from AC Milan. 

He admitted the decision was the hardest of his career and he had wanted to stay at the San Siro. 

But after Milan accepted a record offer, he asked England ace Becks for advice. 

Kaka said: "I spoke to some friends, like Beckham, who has already played for Real. 
He said it's a fantastic place to play there. 

I spoke to him this past week and he kept helping me, he said I made a positive choice for my career's growth. 

I wanted this move to be announced sooner. 

For me it's a relief that it has been announced now, although I have always be 100 per cent focussed on the national side. 

I've been weighing up the offer from Real Madrid a lot. It's an important project for me to continue growing in my career. 

I'm not going to Real Madrid for money, as I had other offers. 

But I knew I would only leave Milan to play for Real Madrid. 

Only small details were missing, such as the medical exams I passed this morning. The deal was sealed long time ago". 

Kaka soon set his sights on overpowering treble-winners Barcelona to make Real Spanish football's No1 once again. 

He added: "This will be a tough season at Real Madrid, after all that Messi conquered with Barcelona. 

They're the big favourites and deservedly so. 

Kaka: Becks told me to gohope Barcelona's hegemony will end in the coming years. 

Real Madrid will build a great team to win titles again, as it's the club's history
NAHAPA NDIO NYUMBA GARI LINAANZA SAFARI,
KAMA UNASIKIA JOTO UNAKUJA KUOGA HAPA

MWENDESHAJI WETU ANAKAA HAPA




KAMAUMECHOKA SASA UNALALA HAPA





NYUMBA GARI ,
Kama mnavyoona picha mbalimbali za bassi hili sehemu ya kuweka mizigo bassi hili unaweka gari ndogo haya wa Tanzania wote wenye hela zakufanya mbombo haya bilasha bongo litafika tu wadau wapo wakutosha kwenye upinzani wa magari,,

Monday, June 8, 2009

WIZI WA LAPTOP DAR,
Kumezuka tabia ya wizi katika mitaa ya jijini Dar es salaam. Wakiongea kwa wakati tofauti wakazi wa Jijini wameelezea matukio hayo ya wizi wa "Laptop" ambapo walisema ya kuwa umeanza kushamiri jijini na kuwaonya wakazi zaidi kuwa macho na matukio hayo. Aina hiyo ya wizi .

Wakiongea kwa wakati tofauti wakazi wa Jijini wameelezea matukio hayo ya wizi wa “Laptop” ambapo walisema ya kuwa umeanza kushamiri jijini na kuwaonya wakazi zaidi kuwa macho na matukio hayo.

Aina hiyo ya wizi ambapo wezi wanakuja wakiwa wanaendesha gari na kukukaribia kisha kupitia dirishani wanakunyang’anya mfuko ambao umebeba kompyuta yako na kukimbia. kuweni makini na vibaka hawa ,


WORLD CUP 2010 SOUTH AFRICA
Viwanja vitakavyo tumika kwenye world cup south Africa apo mwakani. mdau mmoja kutoka ilala yee natoa habari yake kwamba anashukuru serekali yatu kwa kujenga kiwanja kizuri cha kisasa. pia ijitahidi zaidi kujenga viwaja vingi angalau na sisi tujetuandae michuano mkubwa kama wenzetu Ghana, sifa mojawapo ni kuitatangaza nchi mfano mwingine south inandaa world cup unakuta nchi mbalimbali zinaenda kutembele south, kunamsemo mmoja wa kiswahili unasema kwamba mgeni aje wenyeji afaidi ndio itakavyo kuwa huko south Afrika wafanya biashara wantafanya bishara kweli , Mchango wa mawazo unawezajua kwanini nchi nyingi ugombania kundaa worid cup?

First Black Playmate of the Year Steals,

Why does it always have to be drama when it comes to our people? The first Black Playboy Playmate of the Year Ida Ljungqvist can add homewrecking, sloppy slut to her resume now. She’s been accused of taking food out of children’s mouths so she can afford her extensions and boob jobs.

Sure she’s naughty — but 2009 Playmate of the Year Ida Ljungqvist is also accused of being a very bad girl … the kind who steals child support from someone else’s family.

Ida — (32-21-35) — is being sued by a soon-to-be divorced woman named Katrina Kantner, who claims the centerfold and Mr. Kanter schemed to funnel thousands of dollars in child support money meant for Katrina and her children.

Kantner claims her husband has given Ida over $90,000 in cash and gifts — while during the same period, he’s been stiffing Katrina out of the $10,000 a month he owes her child and spousal support.

In the suit, filed last week in L.A. County Superior Court, Kantner says Ida knew exactly what she was doing — and wants all the money back

, plus interest.

If you’re judging Ida from the accusations in this case — be careful, one of her turn-off’s is “close-mindedness.”

That is some foul @ss ish. What kind of a woman would do that and be able to look at themselves in the mirror the next day? She may be the First Black Playmate of the Year but we’re not impressed.

Friday, June 5, 2009


MBWAA NDANI YA NDEGE WAKIJADILI JUU YA SAFARI YAO,
Utandawazi unavyoendele katika nchi za wenzetu hapa kwetu jee? itawezekana mbwaa kupanda ndege na abiria wengine kama innavyoonekana katika ndege hii. mbwaa hawa wakiwa wamekaa kwenye viti vyao ukijaribu kuvuta picha kati ya hawa mbwa unaweza ona kama walikuwana salimiana ivi,

Thursday, June 4, 2009



Obama: U.S. 'not at war with Islam'

U.S. President Barack Obama addresses the tensions between the U.S. and the Islamic world as he delivers a major speech to Muslims in Cairo, Egypt. He tells the audience that America is not "at war with Islam," but says the "sweeping change brought by modernity and globalization led many Muslims to view the West as hostile to the traditions of Islam.

Wednesday, June 3, 2009


Ikulu yamuonya Reginald Mengi
*Yamtaka aheshimu vyombo vya dola
*Yasema athibitishe tuhuma alizotoa
*Yakanusha taasisi zake kumuandama
*Jeshi la Polisi latamka kumchunguza
Na Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya mfanyabiashara maarufu hapa nchini, Reginald Mengi, kutoa madai mazito ya kuandamwa na baadhi ya viongozi wa serikali na taasisi za dola, Ofisi ya Rais Ikulu, imetoa tamko la kumuonya, ikimtaka aviheshimu vyombo vya dola.
Imesema Mengi anapaswa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola ili viweze kufanyia kazi tuhuma za ufisadi alizozitoa katika vyombo vya habari dhidi ya wafanyabiashara watano kati ya kumi aliodai kuwa ni mapapa wa ufisadi hapa nchini.
Aidha, Ikulu imekanusha madai ya Mengi kuandamwa na baadhi ya viongozi wa kiserikali pamoja na taasisi zake, na kueleza kuwa, anapaswa kutoa ushahidi na vielelezo vya tuhuma alizozitoa dhidi ya wenzake, ili ziweze kufanyiwa kazi.
Msimamo huo wa Ikulu dhidi ya kauli za Mengi, ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, ulitolewa jana na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi, Premi Kibanga, katika mahojiano maalumu na Tanzania Daima Jumatano kupitia simu yake ya kiganjani.
“Mengi anavyosema ameandamwa sasa, ameandamwa vipi? Alitoa sijui tuseme ndiyo kashfa au tuhuma za ufisadi, kwa hiyo ulikuwa ni wajibu wa vyombo vinavyohusika kumwita ili atoe ushahidi na vielelezo vyake ili viweze kufanyiwa kazi.
“Hakuitwa yeye tu, ameitwa pia Rostam Aziz, katika idara zote hizo. Hawa wote walitoleana kashfa za ufisadi na wote waliitwa ili watoe ushahidi wao. Sasa kwanini Mengi anasema ameandamwa?” alihoji Kibanga.
Akizungumzia kauli ya Mengi kuwa anamtegemea Rais Kikwete kumnusuru, Kibanga alisema kama anadai hivyo basi anao wajibu wa kumsaidia katika vita ya ufisadi.
Alisema anapaswa kutumia nafasi hiyo si tu kwa kuwataja mafisadi, bali pia kwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vyote vya dola vilivyo chini ya Rais Kikwete, ili viweze kuufanyia kazi ushahidi wake na kuchukua hatua zinazostahili dhidi ya wahusika, ikiwa watathibitika kufanya ufisadi.
‘‘Vyombo vya dola havimwandami mtu. Na anaposema rais atamlinda, ni vema akaelewa kuwa Rais Kikwete ni rais wa wananchi wote. Rais Kikwete halindi mtu mmoja mmoja, analinda Watanzania wote.
‘‘Kama yeye ni rafiki wa Kikwete, basi autumie urafiki huo vizuri kama anavyofanya katika vita ya ufisadi. Lakini sasa asiishie tu katika kuwataja mafisadi, maana sasa kila mtu tu akitaja fulani fisadi kutakuwa na utulivu kweli? Yeye aviheshimu vyombo vya dola na amsaidie rafiki yake (Kikwete), kwa kuvipa ushirikiano vyombo hivyo,” alisisitiza Kibanga.
Naye Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Manumba, alipohojiwa na gazeti hili kupitia simu yake ya kiganjani kuhusu madai ya Mengi kuandamwa na taasisi za dola, likiwamo Jeshi la Polisi, alisema anachojua ni kwamba, polisi wanamchunguza Mengi, lakini hawamuandami.
Manumba alikataa kuzungumzia suala hilo kwa undani, kwa maelezo kuwa msemaji wa jeshi hilo kuhusu suala hilo ni mkuu wa jeshi hilo, Inspekta Jenerali Said Mwema.
Gazeti hili lilipomtafuta Mwema kupitia simu yake ya kiganjani, ilipokelewa na msadizi wake ambaye alikataa kutaja jina lake na kueleza kuwa yupo katika kikao.
Hata hivyo, alipoulizwa kama anaweza kuzungumza lolote kuhusu madai yaliyoelekezwa kwa jeshi hilo na Mengi, alisema si madai ya kweli, kwa sababu jeshi hilo halina kawaida ya kufanya kazi zake kwa kumwandama mtu.
‘‘Hakuna chombo cha dola kinachomwandama mtu. Jeshi la Polisi linafanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, kanuni na maadili yanayoliongoza, lakini kama unataka kupata taarifa zaidi kuhusu kinachofanyika kwa sasa, wasiliana na Kamishina wa Utawala na Rasilimali Watu, CP Clodwig Mtweve.
Kamishina huyo alipotafutwa, hakuweza kupatikana na simu yake ya kiganjani ilikuwa haipatikani.
Jumapili iliyopita, wakati Mengi akizungumza katika ibada iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri la Kisereny wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, alisema baada ya kutaja majina ya mafisadi papa, alianza kuandamwa na baadhi ya mawaziri, vyombo vya dola na taasisi za serikali.
Huku akishangiliwa na umati wa waumini wa kanisa hilo lililopo katika eneo la kijiji alichozaliwa, Mengi alimtaja waziri wa kwanza kumwandama kuwa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Sophia Simba.Mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Dk. Norman Sigalla na Mbunge wa Hai, Fuya Kimbita (CCM).
Mengi alimtaja waziri mwingine aliyemwandama baada ya kutaja mafisadi papa kuwa ni Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika, aliyesema alimwita mbaguzi wa rangi.
Alisema mbali ya mawaziri hao kutoa kauli hizo, pia wahariri wa magazeti yake anayoyamiliki, walihojiwa na Msajili wa Magazeti wa Idara ya Habari.
Huku waumini wa kanisa hilo wakiwa kimya, Mengi alisema yeye mwenyewe pia aliitwa na kuhojiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), ikidai alivunja sheria ya utangazaji kwa kutaja majina ya watu kuwa ni mafisadi papa, na kwamba hatua hiyo iliashiria ubaguzi wa rangi.
Mengi ambaye alikuwa mgeni mwalikwa kwenye hafla hiyo, alivitaja vyombo vingine vya dola vilivyomwandama kuwa ni pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ikimtaka apeleke vielelezo.
Pia alisema aliitwa na maofisa wa Jeshi la Polisi, linaloongozwa na IGP, Said Mwema, chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani, inayoongozwa na Laurence Masha, wakimtaka apeleke vielelezo vya tuhuma zake.
“Nimeitwa na Kamati Ndogo ya Ulinzi na Usalama wa Taifa ili kuhojiwa juu ya tamko langu kuhusu ufisadi. Yote haya yamefanyika pamoja na kwamba kuna kesi mahakamani juu ya jambo hili.
“Tukumbuke kwamba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alikwishatoa tamko bungeni kuwa wote waliotajwa, kama wanaona hawakutendewa haki, waende mahakamani. Sasa ni nani ana tamko la mwisho katika hili? Ni mawaziri, taasisi za serikali, vyombo vya dola ama Waziri Mkuu?
“Kama raia wa Tanzania, vyombo vya dola ni moja ya mategemeo yangu ya kunilinda mimi na mali zangu, kama raia wengine, lakini pamoja na kusakamwa na vyombo hivyo, nasema siogopi. Ulinzi wangu unatoka kwa Mwenyezi Mungu, pili utatoka kwa Rais Jakaya Kikwete, ambaye naamini hatakubali kuona sitendewi haki, na tatu ulinzi wangu utatoka kwa Watanzania wanaochukia ufisadi, hasa masikini na wanyonge.
“Hawa hawana fedha nyingi, ama madaraka, lakini wana nguvu ya sala na umoja bila kujali dini zao,” alisema Mengi na kushangiliwa na waamini wa kanisa hilo.
Alisisitiza kuwa, hatarudi nyuma katika msimamo wake wa kupiga vita ufisadi, kwani anaamini rushwa ikiachwa bila kukemewa, wananchi watagawanyika katika makundi mawili; la watu wenye kipato na madaraka na la watu masikini.
“Watanzania wenzangu wanaochukia umaskini, wanaochukia ufisadi, ndugu zangu waumini, nawaomba mniombee na tuimbe wimbo namba 59 katika kitabu cha ‘Mwimbieni Bwana’, usemao ‘Kazi ni yako Bwana’,” alisema.
Hatua ya Mengi kutoboa siri ya kusakamwa kwake mara baada ya kutaja majina ya aliowaita mafisadi papa, ilitokana na mahubiri ya Mhashamu Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Kaskazini, Dk. Martin Shayo, aliyeunga mkono harakati zake katika vita dhidi ya ufisadi.
Askofu huyo alimtaka Mengi asikatishwe tamaa na wajanja wachache, ambao wamekusudia kurejesha nyuma juhudi za kujiletea maendeleo.
“Taifa letu limegubikwa na mafisadi wachache, wapo Watanzania wenzetu kama Mengi, wamekuwa mstari wa mbele kupinga vitendo vya kifisadi, lakini wanakwamishwa na baadhi ya viongozi walioko madarakani, tukemee kwa pamoja.
“Mwaka huu na mwaka ujao, ni vipindi vya uchaguzi mbalimbali, kuna watu wamejaa choyo, wivu, chuki na ubinafsi miongoni mwetu, hakika watu hao ni wabaya kwa maendeleo ya taifa, msiwachague,” alisema.
Alisema, Mengi hataki urais wala hana nia ya kuwania kiti hicho, wala uongozi wa aina yoyote, lakini amejitoa kusaidia wanyonge, na rafiki zake ni masikini, walemavu, wajane, wanaoishi na virusi vya VVU pamoja na wenye matatizo mengine ya kijamii..
issamichuz.blogspot

Tuesday, June 2, 2009


EXCLUSIVE * KOBE PISSED AT TEAMMATES FOR DISSING HIS CRAZY
WIFE ON SPORST BLOG,

A Laker insider reports: The reason the Lakers struggled to beat the Nuggets is because Kobe was pissed at half the team for blogging about his wife.
Some of the Lakers were talking about blogging on sportshate.com and Kobe said he doesn’t read the stuff. The other members of the team were saying their usernames and Kobe went on the site and figured out they were calling him a ball hog and even worse, TALKING ABOUT HIS WIFE and the maid scandal.



..........................................................................................................................................................................................


Haya wadau wa soka bongo mnamfahamu Mr zamunda ni mmoja kati ya watu wanao kuza soka la bongo. Mr zamunda ambae yeye anafanyia kazi zake Marekani yeye ndie alieileta timu ya Vancouver Whitecaps na jitihada zake anataka angalau wachezaji 7 wawe wanacheza soka la kulipwa njeya nchi ,

Monday, June 1, 2009


Mell yazama Zanzibar
MV fatih ya zama zanzibar ikiwa na takiribani wabiria 25 hadisasa walio poteza maisha ni wanawake wawili na mtoto mmoja walio okolewa pia ni 10 bado juhudi za kutafuta wengine zinaendelea,


Government plans for a thought police

The government is thinking of clamping down on the budding Tanzania media. In a crude plan to weaken the independent media it has proposed changes in our country’s media policy.

In its draft policy, the Government proposes that media owners should be allowed to operate only one kind of media outlet: print or electronic, and not all of them simultaneously.

So the smart asses in government plan to force those having multi-media systems to sell their other companies and engage in only one. Mind you this has nothing to do with the sharing of profits in the media business. But it has a lot to do with control.

We all know that an idle mind usually ends up being a seat for the devil. You just wonder – where did this come from in 21 century Tanzania? I would have thought that the government should have been urging for more and more people to launch more and more media outlets.

I have been watching this ridiculous charade over the past few weeks and came to the conclusion that the proposed changes are aimed at one person only – IPP boss Reggie Mengi.

They want to weaken him as he has been getting too big for his boots. It bothers them that he has TV, radio and newspapers, which are actually read, his radio listened to and TV watched. So they want to clip his wings and leave Tanzanians with good old ‘His Master’s Voice’.

So government honchos have been sitting in air-conditioned offices, eating and drinking at tax-payers expense – and planning to fix one man! If that’s not it, then I don’t know the meaning of word ‘idlers’.

And –why now? Is it because he has been talking about those economic sharks? Is the government being pressured by the ‘untouchables’ to introduce what amounts to dictatorship in the country?

To the brilliant fellows in government offices, only the government should own TV, which is hardly watched save for Ze Original comedy. Only the government should have radios, which is hardly listened to and only our glorious government should have the newspapers, which are hardly read.

Which means the Tanzanians source of news, views, opinions, education and entertainment will come from the glorious government. They call it ‘public owned’. But we know that they are owned by a few powerful government bureaucrats and used for their own interests.

Those outlets are, mostly run by government-controlled bureaucrats. The ‘Bwana nina watoto!’ types who would never dare rock the boat by allowing different views. This is very sad indeed. They are trying to roll back the country into the 60s. No self-respecting Tanzanian will accept such nonsense.

What is the government doing in the media in the first place? It is known all over the word that governments are very economical with the truth (read: mostly liars). That governments always have something to hide. It is not an untruth that most people distrust their governments.

And now, the government wants to weaken the private media and have the monopoly of the outlets. That will clearly fail. The genie is already out of the bottle and there is no way that the media in Tanzania can be reigned in by some imagined policy dreamed up by some idlers in the ministry of information.

Times have changed guys. You simply can’t crudely gag the media today. They tried that in the once mighty Soviet Union and the underground press, the samizdat, thrived until the country turned into the Russian Federation.

People’s Republic of China tried to tell the Chinese what to read and what to write and what to watch on TV. It failed phenomenally. Dictatorial Burma (Mnyamar) is crudely trying to suppress the media. The reports presently being smuggled out are even better presented than before the clampdown.

I mean, you wonder. Our country has a lot of things to worry about. It is presently being looted and raped from all sides. Our people don’t have safe drinking water. The medicare is abysmal. And now we are hearing of famine in this resource rich country. Isn’t that enough to worry about?

Surely that is more than enough to keep heads in government very busy, instead of hearing some clowning idlers trying to institute a thought police in Tanzania. No right thinking Tanzanian will buy that!