Wednesday, September 23, 2009

Jenerali Banza Stoni alivyo washa moto machozi Band,

Banza Stoni akiwa anaimba wimbo wake wa mtaji wa masikini ni nguvuzake mwenyewe akisindikizwa na Machozi Band.











Weekend out photoz ni kutoka Machozi Band ambayo iliwasha moto kwenye sikukuu ya Eid pia Machozi Band iliweza kumualika Msanii machachali Banza Stoni aliwarusha mashabiki wa Machozi kwa nyimbo yake ya ( mtaji wa masikini ) kama unavyoona mdau kwenye hizi picha.

Tuesday, September 22, 2009


Msondo ngoma yaja tena
Kundi mahiri la muziki nchini Msondo Ngoma limeibuka ghafla na kutangaza kuchopoka na albamu yao mpya ijulikanayo kama Huna Shukurani itakayobeba jumla ya nyimbo saba

Friday, September 18, 2009










Ruka pamba inakuwezesha wa wewe Mtanzania kuvaa nguo za Ruka kwa bei nafuu vilevle kama ukibatika kukuna na mdau wa Ruka pamba popote pale mtaani ukiwa umevaa nguo ya Ruka utapata zawadi nyingine ya Ruka pamba karibu wete.

Thursday, September 17, 2009


Karibuni tena wadau kwenye sakata la Jichanganye inakuwezesha wewe mdau kujichanganya na wadau mbalimbali duniani www.jichanganye.tk

Tuesday, September 15, 2009


JIONEE AINA MPYA YA KIWANJA
Haya wachezaji wa mpira wa miguu Tanzania kiwanja kama hichi kikijegwa itakuaje ? bilashaka kazikubwa ipo kwa golikipa wa bondeni.
ELIZABETH KUTUWAKILISHA BIG BROTHER 2009


Age 21
Country Tanzania
Hometown Dar Es Salaam
Occupation TV Presenter / Actress
Biography Elizabeth has one sister, two brothers and she's a Miss Tanzania Top 10 finalist. She says the best part of her country to visit is Mount Kilimanjaro and the best thing about Tanzanians is their kind and positive nature. Elizabeth is a big Man United and Chicago Bulls fan and rates sleeping late and waking up too early as her bad habits. She loves dancing, needle work, cooking, watching TV and traveling - she has also lived in Hungary.

Monday, September 14, 2009

Breaking News
Habari zilizotufikia hivi Punde zinasema aliyekuwa mume wa Mbunge wa Viti maalumu Amina Chifupa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Mpakanjia a.k.a Medy amefariki muda mchache uliopita kwenye hospital ya Lugalo Jeshini. Habari zaidi zinasema Mpakanjia alizidiwa jana usiku katika Hosipitali ya Dr Masawe Temeke ambako alikimbizwa kwa kupata uduma ya kwanza mpaka mautiyalipo mkuta Mungu alilaze pema Roho ya Marehemu.



MECHI ZA SIMBA ZA LIGI KUU YA VODACOM 2009/2010 (raundi ya kwanza) JE,WAONAJE KUNA UPENDELEO?
Tarehe - Mwenyeji - Mgeni - Uwanja

23/8/2009 - Majimaji - Simba sc - Majimaji
29/8/2009 - TZ Prisons - Simba sc - Sokoine
5/9/2009 - Simba sc - Toto Africa - Uhuru
10/9/2009 - Simba sc - Kagera Sugar - Uhuru
19/09/2009 - Manyema - Simba sc - Uhuru
3/10/2009 - Simba sc - Moro UTD - Uhuru
11/10/2009 - Simba sc - African Lyon - Uhuru
18/10/2009 - JKT Ruvu - Simba sc - Uhuru
24/10/2009 - Simba sc - Azam FC - Uhuru
31/10/2009 - Simba sc - Yanga - Uhuru
7/11/2009 - Simba sc - Mtibwa Sugar - Jamuhuri

Posted by nipehabari on September 4, 2009 at 12:30pm

Sunday, September 13, 2009

BURUDANI YA PEKEE KAMA HAUJAWAI ONA SASA JIONEE LEO
BINADAU KUTEMBEA JUU YA KAMBA,


Haya wadau jioneni wenyewe mchezo huu aujawai kutoke bongo ila kwa jirani zetu kenya ndio mchezo wao mpya. mdau unaweza hisi ni mazingaobwe jama ndio mchezo wake unaompa umarufu jiji Nairobi Kenya.

Tatu Bora ya Mnet Face of Africa
Bongo..
Pichani ni Visura ambao wamefanikiwa kufikia hatua ya juu ambapo majina yao na picha vitatumwa afrika kusini kwa hatua ya mwisho ambayo hatimaye Tanzania itajipatia mwakilishi katika shindano hilo la Face of Africa linalotarajiwa kufanyika hivi karibuni mwaka huu.

FA to study Ade incidents
The Football Association have confirmed that they will 'take a close look' at the two incidents involving Emmanuel Adebayor in Manchester City's 4-2 win over Arsenal.

Pos
PWDLFAWDLFAGDPTS
1Man Utd9410117301102+1222
2Chelsea940010130297+1121
3Tottenham9301105311118+819
4Arsenal8400174202107+1618
5Manchester City83008322186+717
6Aston Villa83117420153+516
7Sunderland940113711246+416
8Liverpool930115420379+915
9Stoke City93026503126-312
10Burnley940072005217-1012
11Everton82218910223-211
12Fulham82024411246-210
13Blackburn831186003311-610
14Wigan Athletic92125810348-710
15Bolton80225720266-28
16Wolves911235113510-78
17Birmingham91122310448-57
18Hull City920247014415-147
19West Ham Utd80125711346-45
20Portsmouth90053810327-103

Saturday, September 12, 2009

Bongo kila mwezi lazima jengo jipya lizinduliwe wadau wa nje ya nchi karibuni bongo .




Bongo viberiti vinapanda na kushuka kamaunavyoona mdau hii ndio bongo ya sasa yani kasimpya nguvu mpya majengo ya zamani yote. yanaendelea kupingwa nyundo kama kawaida na kujenga vikwangua anga tu,

Thursday, September 10, 2009

Akon films a new music video at “Inc Club”




Akon shot a new video recently in South Africa with some ‘nice South African video broads.”
Wow, look at Caster go now! Gender-row runner gets chance
to show she's all woman in new photoshoo




We are used to seeing her in green and yellow Lycra as she trounces the rest of the pack on the running track. But now the world's fastest 800m female runner Caster Semenya - who caused an international storm after athletics officials questioned her gender - has taken the chance to showoto-shoot for South African glossy magazine YOU. In make-up, feminine clothes, and with her usually tightly-braided hair loose and styled over her shoulders, Caster's transform she is all woman. The 18-year-old was transformed from 'power girl to glamour girl' in a new phation is compelling. And the photographs bring the gender row, which had just faded from international news, roaring back into the foreground. The new-look Caster appears on the cover of the magazine and in a four-page spread inside. She is quoted as saying: 'I'd like to dress up more often and wear dresses but I never get the chance. I'd also like to learn to do my own make-up.' She also claims: 'I've never bought my own clothes - my mum buys them for me. But now that I know what I can look like, I'd like to dress like this more often.' 'I am who I am and I am proud of myself,' she added. Her outfits for the shoot included black leather trousers with a sequined top, a grey knee-length dress worn with a grey cropped jacket, and a black-and-white cocktail dress worn with stilettos. The magazine - which hit news stands in South Africa on Monday evening - has divided South Africans. Many phoned into radio stations to praise Caster for her new look - while others argued there was no need to 'improve' her. 'It's amazing how, in order to accept her, we have to turn her into our stereotypical image of what a woman should be,' Colleen Lowe Morna of the advocacy group Gender Links said in The Times. Caster herself has remained defiant in the wake of the row following her astonishing run to win the gold medal at the Berlin World Championships last month. 'I see it all as a joke, it doesn't upset me. God made me the way I am and I accept myself,' she said.

Tuesday, September 8, 2009


Mdau toka mwanza ana wakaribisha wa Tanzania wote mje mjionee vivutio vya jiji la mwanza.

Monday, September 7, 2009


Rapper Busta Rhymes will be live in Ghana on September 12 at the Accra International Conference Centre and rumor has it that he will be performing in Tanzania as well towards the end of this month.




kwanini mtoto awe mnene kupitakiasi?
Mtoto kama Suman Khatun hii nilishe bora iliyo pitiliza na kuweza kusababisha mtoto kuwa mnene kupita kiasi.

Sunday, September 6, 2009


VIJANA NAO WANENA KUHUSU UCHAGUZU MKUU

Walia na vijana kutopiga kura .takwimu zaonesha hawapigi kura bila sababu - Asasi isiyokuwa ya Kiserikali inayotambulika kama Dira ya Vijana (TYVA) imetoa tamko linalowataka vijana wote kutilia maanani na kuthamini ulazima wa kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao.

“Vijana wengi wana kadi lakini hawapigi kura. Kwa mfano nilimuuliza kijana mmoja akaniambia hawezi kuwapigia mafisadi kura, huu ni mtazamo finyu, sisi ndio tunaotakiwa kulikomboa Taifa na suluhisho ni kushiriki kuchagua viongozi waadilifu� alisisitiza Ngoja Mjumbe wa kamati ya Asasi hiyo.

Siku chache zilizopita Asasi hiyo yenye matawi mikoa mbalimbali nchini, iliitisha mkutano uliowakutanisha vijana kutoka sehemu mbalimbali tarehe 22 mwezi uliopita katika ukumbi wa Peacock Millennium Tower kujadili kwa kina pia kutoa mapendekezo mbalimbali kuhusu uchaguzi huo.

Pamoja na mambo mengine, walihimiza vijana kushiriki bila kukosa kuwachagua viongozi bora, kamati kuu ya uchaguzi (NEC) kutoa taarifa sahihi kwavijana na umma kuhusu uchaguzi huo, huku wakivitaka vyama vya siasa kuwapitisha vijana kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

Friday, September 4, 2009


SAT 19thSept 2009 AFRICA JAMBO BAND ALONGSIDE KANDA BONGO MAN FOR THE FIRST TIME IN READING @ FACE NITE CLUB RG1 7JE FROM 9.30PM --4AM DONT FORGET ITS NOT PLAY BACK ITS LIVE BAND ON STAGE ENTRY £10 IN ADVANCE TICKET MORE AT THE DOOR THIS SHOW HOSTED BY BONGODJS FOR MORE INFO &TICKETS OTLETS/SPONSORS CONACT 07786065519,07785787004 0R VISIT BONGOTIMES.COM DONT MISS IT !!!!




Wednesday, September 2, 2009



KITUKO CHA MSHABIKI WA SOKA
Jionee mwenyewe mdau kama wewe ni mwana soka utaelewa nini kinaendelea kwenye hii! nyumba.



About 720,000 people attended the two day carnival in west London, during which police made 222 arrests, Notting Hill Carnival is an annual event which since 1964 has taken place on the streets of Notting Hill, London, UK each August, over two days the August bank holiday Monday and the day beforehand It is led by members of the Trinidad and Tobago Trini Caribbean population, many of whom have lived in the area since the 1950s The carnival has attracted up to 2 million people in the past,




Teenager stabbed as 750,000 enjoy Notting Hill Carnival, London

Keeping the beat: drummers in the procession, which started earlier in the day to clear the streets before nightfall. Nearly 750,000 revellers enjoyed the Notting Hill Carnival at the weekend. Police described the event as “remarkably peaceful”, with fewer people injured or arrested than last year, despite a 15-year-old boy being stabbed in a mass fight last night. The teenager was found collapsed in Monmouth Road, off Westbourne Grove, with wounds to the leg, chest and stomach. He was in a serious but stable condition in hospital today. The attack was one of a handful of outbreaks of violence after the parade last night, though none was on the scale of last year's rioting which saw dozens of people and police injured. A brawl during an after-carnival party at the Elbow Rooms in Westbourne Grove ended in two men being injured, one suffering facial wounds from broken glass. Police also arrested a group of 38 youths suspected of plotting trouble and held them until the carnival ended. Earlier a surprise performance by singer Ms Dynamite was cancelled because of safety fears. Hot weather brought an estimated 500,000 people out yesterday, adults' day, and a further 220,000 took part in the children's event on Sunday. The processions and floats had been asked to start earlier in an effort to clear the streets by nightfall to prevent trouble.